KWA IDHINI, tuliyopewa na Mahakana ya Mwanzo ukonga kariyakoo Dar es salaam tutauza kwa mnada wa hadhara wa nyumba iliyopo tabata ugombolwa Dar es salaam tutauza  nyumba  hiyo kutokana na kesi  ya  mirathi Na .65/2010 ya  Marehemu GERHARD D. NGINDO nyumba hii ni mali ya warithi,

Nyumba inamazingira mazuri na salama,

Mnada utafanyika tarehe 13/09/2019 siku ya ijumaa kuanzia saa 4:00 asubuhi

WOTE MNAKARIBISHWA

Leave a comment